STYLE AND DRESS CODE

Dress code ni mpangilio wa mavazi ya sehemu maalum na yenye kuelezea sehemu ambayo upo au sehem ambayo unaelekea mfano; mavazi ya shule, ya michezo na ya usiku n.kWatu wengi sku hizi wanabadilisha sana mwonekano wa mavazi hasa hapa nyumbani mfano vazila kuvaa usiku mtu anavaa mchana haipendezi kwasababu ata mtu wa kawaida atasema yulemdada kavaa nini? kwanini vazi la usiku hauwezi kuvaa mchana? asilimia kubwa ya nguo za usiku zina vitu vya kumeremeta katika nguo sasa ukiivaa hiyo nguo mchana na kuna jua vile vitu vya kumeremeta ambavyo viko kwenye nguo vinakuwa vinaakisi mwanga  hivyo mtu akikuangalia anakuwa anaona una meremeta sana na wengine kuumia macho 

So hii ni mifano ya nguo ambazo unaweza vaa na usio weza vaa kwa wakati fulani 

Hapa tuna ona mionekano ambayo siyo rasmi na ambayo ni rasmi

Hapo miezi ya nyuma kuliibuka style ya kuchana nguo baada ya kuona baazi ya mastar kuvaa style hiyo ila siyo mwonekano sahihi kwa mwana ume au mwanamke pia 

Ikiwa kwenye mwonekano unao jieleza 


EmoticonEmoticon